About Me

Monday 7 September 2015

                    
Ufaransa: ushiriki wa kijeshi nchini Syria utajadiliwa Bungeni Jumanne Septemba 15
Syndicate content
KLABU BINGWA BARANI ULAYA (UEFA)
Michuano ya COSAFA yaanza Afrika Kusini
17/05/2015 JUKWAA LA MICHEZO

Michuano ya COSAFA yaanza Afrika Kusini

Jumapili hii katika Jukwaa la Michezo pamoja na mambo mengine kama ligi kuu ya soka nchini Uganda, tunaangazia kuanza kwa michuano ya soka ya COSAFA baina ya Mataifa ya Kusini mwa Afrika hususan ...
Alvaro Morata (kulia) aliyeipatishia klabu yake ya Juventus bao la kwanza katika dakika ya 8 katika mchuano wa kwanza wa nusu fainali za Kombe la Mabingwa barani Ulaya
06/05/2015 SOKA-UEFA-JUVENTUS-REAL MADRID

Real Madrid yaangukia pua kwa kufungwa mabao 2-1

Mchuano wa kwanza wa nusu fainali za Kombe la Mabingwa barani Ulaya kati ya Juventus ya Italia na Real Madrid ya Uhispania umechezwa Jumanne usiku wiki hii.
Michuano ya CECAFA 2015
26/04/2015 JUKWAA LA MICHEZO

Michuano ya CECAFA 2015

Jumapili hii katika Jukwaa la Michezo tunachambua michuano ya soka ya Afrika Mashariki na Kati ya CECAFA ya mwaka huu lakini pia droo ya nusu fainali ya michuano ya soka ya klabu bingwa barani Ulaya ...
Timu mbili za Uhispania Atletico Madrid na Real Madrid zinatazamiwa kufungua dimba ya michuano ya robo fainali ya UEFA.
14/04/2015 UEFA-MICHEZO-SOKA

Michuano ya robo fainali ya UEFA yaanza

Michuano ya robo fainali kuwani taji la klabu bingwa barani Ulaya UEFA inaanza kuchezwa leo Jumanne.
Gianni Infantino, katibu mkuu wa Shirikisho la Soka barani Ulaya UEFA, na rais wa Shirikisho hilo, Michel Platini
20/03/2015 UEFA-EUROPA-SOKA

Droo yatazamiwa kufanyika katika michuano ya soka ya Ulaya

Ijumaa wiki hii kutafanyika droo ya hatua ya robo fainali ya kuwania ubingwa wa klabu bora barani Ulaya UEFA na ligi ya EUROPA.
Barcelonaimeimenya Manchester City kwa bao 1-0 Jumatano jioni Machi 18 mwaka 2015.
19/03/2015 JUVENTUS-BARCELONA-UEFA-SOKA

Barcelona na Juventus zafuzu katika robo fainali ya michuano ya UEFA

Klabu ya Barcelona ya Uhispani na Juventus ya Italia ni vilabu vya mwisho kufuzu katika robo fainali ya michuano ya kuwani ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya UEFA.
Mbrazilia David Luiz.
12/03/2015 PSG-BAYERN MUNICH-UEFA-SOKA

PSG na Bayern Munich zaingia robo fainali

Paris Saint Germain imetinga katika robo fainali ya michuano ya Kombe la UEFA, Jumatano Machi 11 mwaka 2015 mjini London.
Ishara ya Kombe la dunia la soka 2014
30/12/2014 MICHEZO MWAKA 2014

Yaliojiri viwanjani mwaka 2014

Baadhi ya matukio muhimu yaliyotokea viwanjani mwaka 2014, barani Afrika, Ulaya, Amerika Asia Ulaya na kwingineko duniani.
Ujerumani waibuka mabingwa baada ya kuwafunga Argetina bao 1 kwa 0 katika mchuano wa fainali. uliochezwa kwenye uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro.
29/12/2014 UJERUMANI-ARGENTINA-SOKA

Kombe la dunia Brazil 2014

Kikubwa kitakachokumbukwa mwaka huu unaokamilika ni michuano ya soka ya kombe la dunia iliyofanyika nchini Brazil kati ya tarehe 12 mwezi Juni hadi tarehe 13 mwezi Julai.
Mwaka 2012, Thierry Henry alirejea Arsenal kwa mkopo na kufunga mara mbili.
16/12/2014 SOKA-UFARANSA-ARSENAL-HENRY

Baada ya kujizolea sifa, Thierry Henry astaafu

Taarifa hii imekua ikisubiriwa tangu majuma kadhaa yaliyopita. Kwa sasa taarifa hiyo imekua rasmi: Thierry Henry amechukua uamzi wa kustaafu katika ulimwengu wa soka.

No comments:

Post a Comment