About Me

Monday 14 September 2015

ASLAY AFIWA NA MAMA YKE

Tanzia: Mama mzazi wa Dogo Aslay afariki dunia

PhotoGrid_1416578914975Moza Mohamed enzi za uhai wake.ASLAYMwimbaji wa Yamoto Band, Aslay Isihack ‘Dogo Aslay’ aliyefiwa na mama yake mzazi.
Mama mzazi wa muimbaji wa Yamoto Band, Aslay Isihack ‘Dogo Aslay’, Moza Mohamed amefariki leo alfajiri katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam alimokuwa amelazwa.
Akizungumza na mwandishi wetu, Meneja wa Yamoto Band, Said Fella amethibitisha kutokea kwa msiba huo na kuongeza kuwa, Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Temeke.

RELATED POSTS

LEAVE A COMMENT

You must be logged in to post a comment.

No comments:

Post a Comment