About Me

Monday, 16 November 2015

Saturday, 14 November 2015

challenges of enterprenuership in tanzania

Future UDSM Entrepreneurs

For students aspiring to become successfull entrepreneurs

Challenges facing entrepreneurs in Tanzania.

GROUP NAME: JASIRI
Members of the group
Sanga Rehema : I’m currently a University student taking a Bsc. in Industrial Engineering and Management. My vision is to become a successful entrepreneur in future.
Emmanuel Patrick:
A university of Dar es salaam student (2006-2010) pursuing BSc. In Industrial engineering and management. I expect to live my dreams through entrepreneurship because I believe that, success comes through infinity expectations, day dreaming and keeping an eye to the target ALWAYS
Masanche Emmanuel anythincomputer@gmail.com
3rd year computer science at university of Dar es salaam.
My vision is to have my social network www.ANYTHINCOMPUTER.ning.com be so popular that every entrepreneur can use it.
DANIEL ELIHURUMA:
3rd year computer science at university of Dar es salaam, sugumosi@yahoo.com, My dream is to be entrepreneur in software development and Network essentials.
JUSTINIAN,GODFREY
3rd year computer science at university of Dar es salaam, gmwesiga2007@yahoo.com
OBJECTIVE: To use Information and Communication Technology Industry skills for growth while being resourceful, innovative and Flexible.
TUJU SHARALI;
Hi, I am a final year student in the college of natural and applied sciences of the University of Dar es salaam, I will live my dream through own effort and struggle, thanks.
MUSHONGI, Bella (mushongi1985@yahoo.com)
Am pursuing Bachelor of commerce and management at university of Dar es salaam. my inspiration is to be a very famous and successfully entrepreneur.
Challenges facing Tanzanian Entrepreneur
Lack of capital
Many Tanzanian find it difficulty to initialize business due to lack of initial capital, capacity limit of banks to offer loans, long loan procedures to access loans from banks and lack of collaterals required to validate ones ability to apply for loans.
Lack of entrepreneurship training
Most of the experts in Tanzanian have spirits and skills in entrepreneurship but due to high costs of training materials, funds for accommodation and traveling leads inadequate training.
Lack of entrepreneurship skills
Most of Tanzanian are uneducated and they lack skills on matters relating to entrepreurship. Their involvement in entrepreneurship may lead to a lot of risks so they opt not be involved.
Poor government policy, regulations and laws
Tanzanian government does not have clear policy on supporting entrepreneurs and helping them to build their potentials.
Culture and beliefs
In Tanzania we have a mixture of several religions each with its beliefs for example if an entrepreneur decides to invest in keeping pigs it is acceptable to Muslims. These always result into a narrowed market to some business opportunities.
we belong together
jasiri group at UDSM

Monday, 9 November 2015

KUFUTWA KWA TOUR KWA CHUO CHA HABARI MSJ

Chuo cha uandishi wa habari morogoro msj wamefuta safari za wanafunzi za kutoka nje ya mkoa huo na hata ndani ya mkoa huo kwa nia ya kujifunza kwa vitendo.

Friday, 6 November 2015

wachezaji wa timu ya nanenane FC wakifanya mazoezikwa kujiandaa na mechi zidi ya wapinzani wao church FC

                                                                                                                                                                                          

Tuesday, 3 November 2015

UMASIKINI




Umaskini ni hali ya ukosefu wa mahitaji ya msingi ya Binaadamu kama vile chakula,mavazi,huduma za afya,maji safi na makazi.
Umaskini unajihusisha hasa na sababu zinazojihusisha kiwango cha chini cha Uzalishaji kwa watu maskini.
Ni kweli uongozi mbaya na watu wa tabaka la juu ni kikwazo kikubwa kwa watu na familia maskini.
Kundi hili huwa halina sauti na wanakosa kujaliwa na wenye vipato vya juu.Ninahe mama Salma katika kijiji cha mbozi mkoani mbeyambae yeye amekumbwa na tatizo la umasikini ana haya ya kusema                                        Lakini vilevile kutokuwepo kwa Uhuru wa Kiuchumi ni tatizo kwa wajasiriamali miongoni mwa watu maskini.
Ni huohuo umaskini unaosababisha afya duni,ukosefu wa elimu pamoja na ukosefu wa chakula. Hivi vyote ni vitu muhimu kuvipata,kwa mfano tatizo la ukosefu wa elimu limekuwa ni moja ya ongezeko la matumizi ya madawa ya kulevya.
Vijana wake kwa waume hujiingiza katika vikundi viovu vya uvutaji Sigara,Bangi,Kokeni na kujidunga Sindano.
Haya yote hutokea pale vijana kuwa hawana shughuli za kufanya ambazo zitawaingizia kipato katika maisha yao.
Uchunguzi umedhihirisha ya kuwa watoto watoto wanaotoka katika familia au jamii maskini wanakabiliwa na tishio kubwa la kutofanya vyema katika masomo yao.




TATIZO WA ELIMU TANZANIA


Mfumo wa elimu bado ni tatizo ,mfumo huu uliopo haumfanyi au kumfundisha mwanafunzi kuweza kufanya kazi bila ya kuajiriwa.
Mfumo bora wa elimu ni ule unaowapa wanafunzi mbinu za kufanya kazi hata kama wamekosa ajira wawe wabunifu kutafuta ufumbuzi wa kujiajiri wenyewe.
Mbali na hayo maisha ya shuleni kumekuwa na changamoto nyingi kama ukosefu wa waalimu wa kutosha.
Waalimu wengi wamekuwa wakijibebesha masomo ambayo hawana uwezo nayo pamoja na kufundisha masomo yasiyopungua matatu.
Hali hii inawafanya wanafunzi kushindwa kuelewa na kufahamu yale masomo ambayo hayana waalimu wenye sifa.
Kutokana na hali hiyo pia inaonyesha kwamba waalimu wengi licha ya kuwa na changamoto zinazowakabili wao wenyewe ila hawana uelewa wa kutosha kuhusiana na masomo yanayofundishwa kwa lugha ya kiingereza.
Kwa hivyo hilo pia ni miongoni mwa matatizo ya kufeli kwa wanafunzi.
Lakini mbali na hayo kumekua na tatizo la Ufisadi wa kuhujumu kiwango cha elimu nchini.
Hujuma hizi ziko katika Wizara nzima ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ambapo huleta ubaguzi wa kitabaka na kidini.
Ubaguzi huu hutumiwa katika chombo cha Baraza la Mitihani La Taifa.
Chombo hichi hutumia nafasi yake kinyume na sheria na taratibu za umma.
Wanafunzi wengi hupunguziwa viwango vya ufaulu na kufelishwa kwasababu ya ubaguzi wa kitabaka,kijinsia na kidini.
Utabaka huo umeaza tangu kabla ya Uhuru na bado mpaka sasa upo katika sekta zote.
Kabla ya Uhuru elimu ilitolewa kwa kuzingatia matabaka hasa tabaka la rangi na wenye fedha ambapo mwaafrika(mtu maskini) alikuwa daraja la mwisho kupata elimu.
Takwimu kutoka Wizara ya Elimu inaonyesha kuwa Wazungu(matajiri) hawakusomesha watoto wao hapa nchini bali walipelekwa nje.
Hili limebainishwa na hata Waaziri wa Elimu wa sasa Mh.Shukuru Kawambwa wakati akitoa taarifa ya sekta ya Elimu nchini wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja Dar Es Salaam.
Kwa hivyo tunagundua yakuwa hizi ni njama za viongozi wetu na watu wenye fedha kuwadumaza kielimu wananchi kwani maafa na athari za kukosa elimu kwa watoto wao zinaepukika kwasababu watoto wao wanasomeshwa nje ya nchi,na inaonyesha ndiyo hizohizo pesa zetu za kodi wanazosomeshea watoto wao nje ya nchi.
Ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha nne umekuwa mbovu na wakutisha katika miaka 2010-2012.
Mwaka 2010 Wanafunzi 354042 waliofanya mtihani wa Taifa kidato cha nne,wanafunzi 117,021 walipata daraja sifuri sawa na asilimia 50% ya watahiniwa wote.
Wanafunzi 136,633 ambao ni asilimia 38.6% walipata daraja la nne na kufanya asilimia 88.6% ya watahiniwa wote kupata daraja la nne na sifuri.
Ni wanafunzi 15335 sawa na asilimia 4.3% ndio waliopata daraja la kwanza,pili na tatu.